Wakati kampeni za kumchangia Tundu Lissu zikiendelea, hivi majuzi mbunge wa Mbeya mjini Mheshimiwa Joseph Mbilinyi almaarufu kama Mr II "Sugu" alitumia njia ya tofauti kidogo katika kufikisha maombi yake kwa Mungu kupitia kwa marehemu ambaye alikuwa Diwani huko Mbeya. Sugu alitumia nafasi hiyo kumwambia marehemu akamwombee Tundu Lissu kwa Mungu kupitia malaika ili aweze kupona mapema. Msikilize hapa chini.
What Are The Job Hunting Hacks for Tanzania
-
What Are The Job Hunting Hacks for Tanzania
In today's competitive job market in Tanzania, job seekers need smart
strategies to stand out. Platforms like A...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano Geita
-
Geita TAMISEMI Form five Selection | Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga
kidato cha Tano Geita. The TAMISEMI Form Five Selection is a crucial
milestone in...
Leave a Comment