ZIMBABWE YAHALALISHA KILIMO CHA BANGI

Kilimo cha zao la bangi kimehalalishwa kisheria katika nchi hiyo kwa ajili ya kutumika kama dawa na kwenye mambo mengine ya kisayansi. Kwa mujibu wa Serikali kupitia taarifa iliyotolewa na Wizara ya Afya imesema watu binafsi na taasisi zinaweza kuanza taratibu za kupata lesini kwa ajili ya kilimo hicho

Zimbabwe inakuwa nchi ya pili barani Afrika kuruhusu kilimo hicho baada ya Lesotho kuruhusu mnamo Septemba 2017. Nchi za Malawi na Ghana zinaangalia namna ya kuhalalisha kilimo hicho
==

Zimbabwe has legalized the production of marijuana for medicinal and scientific purposes, making it the rare African country to turn the drug into a source of revenue.

A government notice issued by the health minister says individuals and corporations can apply for licenses to grow marijuana, whose production and possession had brought up to 12 years in prison.

Recreational use remains illegal.

The decision is a marked shift from the traditionally tough stance on marijuana in the largely conservative country where members of Parliament who had advocated for legalization often were openly mocked.

The tiny nation of Lesotho last year became the first in Africa to issue a license for medical marijuana. Countries including Malawi and Ghana are reportedly exploring ways to legalize the drug.

A South African court last year ruled that private use of marijuana was legal but the government appealed the ruling at the Constitutional Court.

Much of Africa still criminalizes the production and use of marijuana.

Africa is second only to the Americas in terms of production and consumption of the drug, according to the United Nations' 2017 World Drug Report.


Image result for animated download now gif
Powered by Blogger.