Msanii wa filamu nchini Salome Nonge maarufu kwa jina la ‘Mama Abdul’ amefariki dunia mchana wa leo. Mama Abdul amekuwa muigizaji kwa kipindi kirefu tangu enzi za tamthilia ya 'Mambo Hayo' iliyokuwa ikirushwa na ITV akishirikiana na wenzie kina Bishanga Bashaija, Muhogo Mchungu, Bi Star, Nyamayao,Kibakuli na wengineo wengi. Hivi karibuni mama Abdul alishiriki katika filamu ya Kantangaze ambayo iliandaliwa na Zamaradi Mketema na kufanya vizuri. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!
MR NIC RELEASES ANTICIPATED NEW SINGLE "SAMSARA"
-
Mr. Nic is a new era indie British artist from Manchester with a history of
extensive international radio play (BBC, RRI, WKRB). His debut album was
relea...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Leave a Comment