TANZIA: MUIGIZAJI WA FILAMU "MAMA ABDUL' AFARIKI DUNIA

Msanii wa filamu nchini Salome Nonge maarufu kwa jina la ‘Mama Abdul’ amefariki dunia mchana wa leo. Mama Abdul amekuwa muigizaji kwa kipindi kirefu tangu enzi za tamthilia ya 'Mambo Hayo' iliyokuwa ikirushwa na ITV akishirikiana na wenzie kina Bishanga Bashaija, Muhogo Mchungu, Bi Star, Nyamayao, Kibakuli na wengineo wengi. Hivi karibuni mama Abdul alishiriki katika filamu ya Kantangaze ambayo iliandaliwa na Zamaradi Mketema na kufanya vizuri. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!

Image result for animated download now gif

No comments

Powered by Blogger.