Msanii wa filamu nchini Salome Nonge maarufu kwa jina la ‘Mama Abdul’ amefariki dunia mchana wa leo. Mama Abdul amekuwa muigizaji kwa kipindi kirefu tangu enzi za tamthilia ya 'Mambo Hayo' iliyokuwa ikirushwa na ITV akishirikiana na wenzie kina Bishanga Bashaija, Muhogo Mchungu, Bi Star, Nyamayao,Kibakuli na wengineo wengi. Hivi karibuni mama Abdul alishiriki katika filamu ya Kantangaze ambayo iliandaliwa na Zamaradi Mketema na kufanya vizuri. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!
StUreets UNLEASHES NEW HIT SINGLE "LOST CHILD"
-
Emerging from the raw, dust-colored corners of Ghana, *StUreets* is not
just an artist—he’s a voice for the forgotten. With the release of his
deeply pers...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano Geita
-
Geita TAMISEMI Form five Selection | Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga
kidato cha Tano Geita. The TAMISEMI Form Five Selection is a crucial
milestone in...
Leave a Comment