Msanii wa filamu nchini Salome Nonge maarufu kwa jina la ‘Mama Abdul’ amefariki dunia mchana wa leo. Mama Abdul amekuwa muigizaji kwa kipindi kirefu tangu enzi za tamthilia ya 'Mambo Hayo' iliyokuwa ikirushwa na ITV akishirikiana na wenzie kina Bishanga Bashaija, Muhogo Mchungu, Bi Star, Nyamayao,Kibakuli na wengineo wengi. Hivi karibuni mama Abdul alishiriki katika filamu ya Kantangaze ambayo iliandaliwa na Zamaradi Mketema na kufanya vizuri. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!
DJ TEESHA - GENIE IN A BOTTLE | NEON BLENDS Vol. 1
-
Genie in a Bottle came from pure emotion. Dj Teesha build blends in real
time by layering sounds, vocals, memories and moments together. This wasn’t
meant...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Leave a Comment