Kwa wapenzi wa muziki wa Hiphop nchini Tanzania bila shaka jina 'Andre K' sio geni kwao. Ni msanii wa hiphop aliyekuwa akiwakilisha kundi la Dom Down Click (DDC). Andre K anafahamika kwa nyimbo zake nyingi kama Gangster Still Alive (G.S.A), I Wish ft. Miracle, Nenda kasome ft Slimsal, Karibu Chuo, Kachetuka ft Adam Shule Kongwe, Bora Usingeenda Shule (Elimu ya juu) ambayo ni jina la EP ya Andre K ambayo ilitoka mwaka 2017.
Andre K amefariki leo (jana) baada ya kuanguka bafuni na akapelekwa hospitali ya Benjamin Mkapa ambapo mauti yalimkuta huko. BlackMutu Blog inatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huu wa msanii Andre K, bwana alitoa bwana ametwaa. Mungu amlaze mahali pema peponi. Amen!!
A PICTURE OF K. MBAPPE WITH HIS FATHER U. MBAPPE
-
Mr Mbappe says: Once I took my son to Cameroon. I wanted my son to play in
the national team for Cameroon. But the Cameroon Football Federation asks
me fo...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Leave a Comment