Kwa wapenzi wa muziki wa Hiphop nchini Tanzania bila shaka jina 'Andre K' sio geni kwao. Ni msanii wa hiphop aliyekuwa akiwakilisha kundi la Dom Down Click (DDC). Andre K anafahamika kwa nyimbo zake nyingi kama Gangster Still Alive (G.S.A), I Wish ft. Miracle, Nenda kasome ft Slimsal, Karibu Chuo, Kachetuka ft Adam Shule Kongwe, Bora Usingeenda Shule (Elimu ya juu) ambayo ni jina la EP ya Andre K ambayo ilitoka mwaka 2017.
Andre K amefariki leo (jana) baada ya kuanguka bafuni na akapelekwa hospitali ya Benjamin Mkapa ambapo mauti yalimkuta huko. BlackMutu Blog inatoa pole kwa wote walioguswa na msiba huu wa msanii Andre K, bwana alitoa bwana ametwaa. Mungu amlaze mahali pema peponi. Amen!!
MFAHAMU RAISI MASKINI ZAIDI DUNIANI
-
Mtu anayeitwa *José “Pepe” Mujica*, ambaye alikuwa Rais wa Uruguay (2010 -
2015), amekuwa akitajwa kuwa *“rais maskini zaidi duniani”* kutokana na
mtazamo...
MARIOO & ELEMENT Eleeeh DROPS NJOZI MUSIC VIDEO
-
Marioo collaborate with Element Eleeeh on their new single "Njozi". Take
your time and watch Njozi music video by Marioo in collaboration with
Element Ele...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano Geita
-
Geita TAMISEMI Form five Selection | Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga
kidato cha Tano Geita. The TAMISEMI Form Five Selection is a crucial
milestone in...
Leave a Comment