JIFUNZE JINSI YA KUREFUSHA UUME

Dawa ya kurefusha uume na kuongeza nguvu za kiume


 Asubuhi
Kunywa maji lita moja kisha kaa saa 1 kunywa Asali iliyochanganywa na Mdalasini Weka ndani ya maji ya vyuguvugu.Tumia kama chai unaweza kutumia na kitafunwa chochote hama mkate.

 Mchana
Chukuwa ndizi 6 kubwa kisha kula saa 1 kabla ya chakula cha mchana.
 Jioni
Kula matunda unayoweza kupata kama machungwa au maparachichi.

 Usiku
Kwa unataka kuongeza urefu wa uume chukuwa maziwa fresh glass 1,kisha changanye na punje 12 za vitunguu swaumu.Kisha kunywa na tafune hizo punje kwa wakati mmoja.nusu saa kabla ya chakula cha usiku.
Kwa anaetaka kuongeza nguvu za kiume atachukuwa tangawizi atakatakata vipande kisha atachemsha na kunywa kama chai kikombe kimoja, nusu saa kabla ya chakula cha usiku. 

Fanya zoezi hili kwa mujibu wa maelekezo hadi utakapoona matokeo mazuri unayoridhika nayo. Urefu wa maumbile ya kiume kwa kawaida huwa ni nchi 4 kwa mtu mzima.

1 comment:

Powered by Blogger.