BAADA YA KUUMIZWA NA MAPENZI ASLAY ATAMANI KUFA

Baada ya kutamba kwa vibao kadha wa kadha, msanii Aslay ameshirikiana na Bahati katika ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la "Bora Nife". Tumia dakika zako 3 kumsikiliza Aslay na Bahati then utapata jibu kwanini wanasema "Bora Nife". Produced by Burny Music, video Directed by Eixcher.
Image result for animated download now gif

No comments

Powered by Blogger.