VITU 10 VYA AJABU ZAIDI KUWAHI KUUZWA MTANDAONI

Umeshawahi kuuza au kununua kitu mtandaoni?? Ok, kupitia BlackMutu Blog leo hii nawaletea vitu 10 vya ajabu zaidi kuwahi kuuzwa mtandaoni kupitia site za manunuzi kama eBay, Alibaba, Aliexpress na mingineneyo. Tazama video kwa danta mtu wangu wa nguvu kuona vitu vya ajabu kuwahi kuuzwa ebay.
Image result for animated download now gif
Hawa wazungu sometimes sio wazima kabisa, hivi mtu kwa akili yake anauza hewa ambayo ameipata kwenye show ya Kanye West, huh?!! Unaweza kununua hewa kweli kwenye mfuko?? Tena $60,100 ambayo ni sawa na milioni 136,021,325 kwa hela ya kibongo. Like seriously?!! No way, hell NO!
Powered by Blogger.