Baada ya kutamba na ngoma ambayo kashirikiana na Whozu "Kwa Leo", msanii Billnass ameachia goma lake jipya linalokwenda kwa jina la 'Funga Geti' akiwa kamshirikisha Roma. Unaweza kutazama kichupa chake hapo chini.
Kutokana na maombi mengi ya wapenzi wa muziki barani Africa, sasa unaweza kupakua nyimbo za Diamond platnumz na AliKiba kupitia mobi...
Facebook
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano Geita
-
Geita TAMISEMI Form five Selection | Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga
kidato cha Tano Geita. The TAMISEMI Form Five Selection is a crucial
milestone in...
Leave a Comment