TANZIA: MSANII GODZILLA AFARIKI DUNIA

Msanii Godzilla almaarufu kama Zilla au Zizi amefariki dunia nyumbani kwao Salasala usiku wa jana saa sita, chanzo cha kifo bado hakijawekwa wazi lakini ndugu wake wa karibu amedai kuwa Zilla alikuwa anasumbuliwa na tumbo jana (jumanne) mpaka umauti ulipomfikia usiku.  
Miongoni mwa nyimbo zilizompa umaarufu Godzilla ni pamoja na #Salasala na nyinginezo nyingi. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Image result for animated download now gif

No comments

Powered by Blogger.