Msanii Godzilla almaarufu kama Zilla au Zizi amefariki dunia nyumbani kwao Salasala usiku wa jana saa sita, chanzo cha kifo bado hakijawekwa wazi lakini ndugu wake wa karibu amedai kuwa Zilla alikuwa anasumbuliwa na tumbo jana (jumanne) mpaka umauti ulipomfikia usiku.
Miongoni mwa nyimbo zilizompa umaarufu Godzilla ni pamoja na #Salasala na nyinginezo nyingi. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
MOVIE: SPY HARD (1996)
-
General Rancor is out with his evil intentions of destroying the world with
a missile he is hiding at his secret base using a special computer chip.
Speci...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Waliochaguliwa kujiunga kidato cha Tano Geita
-
Geita TAMISEMI Form five Selection | Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga
kidato cha Tano Geita. The TAMISEMI Form Five Selection is a crucial
milestone in...
Leave a Comment