SOULJA BOY AZUIA WIMBO WAKE WA "GUCCI BANDANA" KUPIGWA

Wakati Gucci wakiendelea kupokea malalamiko kutoka kwa watu mbalimbali duniani kote kutokana na design yao mpya ya mavazi ambayo imehusishwa na ubaguzi wa rangi, msanii Soulja Boy amezuia wimbo wake wa 'Gucci Bandana' kupigwa alikuwa stejini akifanya show. Tazama kipande cha show hapo chini.

Hata hivyo, Gucci waliomba radhi kwa wajeta wao na kuiondoa bidhaa ya blauzi (balaclava top) ambalo lilihusishwa na ubaguzi wa rangi. Blauzi hio ilikuwa ikiuzwa kwa takribani  US dollars 890 ambayo ni zaidi ya milioni mbili kwa pesa za kitanzania. Swali ni; Je, naweza kununua nguo ya zaidi milioni moja?!
Image result for animated download now gif

No comments

Powered by Blogger.