Zimefanyika remix nyingi za wimbo wa Chibonge uliofanywa na Marioo akishirikiana na Abbah pamoja na G Nako. Leo hii BlackMutu anakuletea remix ya wimbo wa Chibonge ambayo imefanya vizuri zaidi kuliko zote. Remix / cover ya Chibonge inafahamika kwa jina la 'Chembamba' na imefanywa na Creyz Beez kutoka DomTown Records. Enjoy!!
DJ TEESHA - GENIE IN A BOTTLE | NEON BLENDS Vol. 1
-
Genie in a Bottle came from pure emotion. Dj Teesha build blends in real
time by layering sounds, vocals, memories and moments together. This wasn’t
meant...
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Leave a Comment