Zimefanyika remix nyingi za wimbo wa Chibonge uliofanywa na Marioo akishirikiana na Abbah pamoja na G Nako. Leo hii BlackMutu anakuletea remix ya wimbo wa Chibonge ambayo imefanya vizuri zaidi kuliko zote. Remix / cover ya Chibonge inafahamika kwa jina la 'Chembamba' na imefanywa na Creyz Beez kutoka DomTown Records. Enjoy!!
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Leave a Comment